WANANCHI WAHIMIZWA KUJIUNGA NA PROGRAM ZA ELIMU YA WATU WAZIMA

Na.Moreen Rojas, Dodoma. Taasisi ya Elimu ya watu wazima( TEWW) imetoa wito Kwa wananchi kujiunga na program za elimu ya watu wazima kwani inatoa elimu kwa nadharia na vitendo kwa kumjengea mwanafunzi uwezo wa kuwa mtu bora mwenye uwezo wa kujiendeleza na kupambana na changamoto za maisha. Hayo yamesemwa na mkurugezi wa taasisi ya Elimu